Radio Tadio

Zabibu

6 December 2023, 12:56 pm

Zifahamu hatua za kilimo cha zabibu

Kwa nini zao la zabibu hustawi zaidi katika eneo la mkoa wa Dodoma na si maeneo mengine? Na Yussuph Hassan. Baada ya kufahamu kwa undani aina za zabibu nchi zilizotoka na njia zilizotumika pamoja na utafiti kwanini mkoa wa dodoma…

29 November 2023, 3:21 pm

Historia ya kilimo cha Zabibu

Dodoma ndio mkoa pekee unaolima Zabibu kwa wingi nchini Tanzania na hata kwa afrika mashariki ndio mkoa wenye utajiri mkubwa wa zao hili. Na Yussuph Hassan. Kilimo cha Zabibu mkoani Dodoma kina historia ndefu, ambapo kwenye miaka ya 1950 na…

6 June 2023, 5:02 pm

Wakulima wa zabibu walalamikia uhaba wa soko la uhakika

Na Mindi Joseph. Wakulima wa zao la zabibu kijiji cha Makag’wa mkoani Dodoma wamesema ukosefu wa soko la uhakika ikiwemo idadi ndogo ya viwanda vya kusindika zabibu kumechangia kurudisha nyuma maendeleo ya wakulima wa zao hilo. Wakulima hao wameeleza hayo…