WAUVI
2 Julai 2025, 10:21 mu
Afariki dunia baada ya kushambuliwa na fisi
Jitihada za kumwokoa hazikufanikiwa. Na Kitana Hamis.Kijana mmoja aitwaye Fredy Peter, mkazi wa Kijiji cha Seleto, Dareda Misheni, Wilaya ya Babati mkoani Manyara, amefariki dunia baada ya kushambuliwa na kundi la fisi . Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo,…
13 Septemba 2024, 7:28 um
Taharuki ya simba Nzuguni
Dodoma ni sehemu ya mapitio ya wanyama pori hivyo suala la uwepo wa wanyama pori katika baadhi ya maeneo litaendelea kujitokeza. Na Thadei Tesha. Afisa Maliasili wa Jiji la Dodoma Bw. Vedasto Millinga amekiri uwepo wa baadhi ya wanyama pori…
31 Mei 2023, 12:37 um
Serikali kuwaunga mkono wajasiriamali wa WAUVI
Wajasiriamali hao wametakiwa kuacha kutengeneza bidhaa kwa mazoea badala yake wabadilike na kupiga hatua. Na Alfred Bulahya. Zaidi ya wanachama 3000 wa taasisi ya wanawake na uchumi wa viwanda mkoa wa Dodoma, wamehitimu mafunzo ya ujasiriamali yaliyohusu usindikaji wa vyakula,…
2 Mei 2023, 12:21 um
Wanachama wa WAUVI waanza uzalishaji wa bidhaa
Mafunzo hayo yamekuwa yakiratibiwa na shirika la kuhudumia viwanda vidogo sido mkoa wa Dodoma. Na Alfred Bulahya. Imeelezwa kuwa asilimia 80 ya wanachama wa Taasisi ya wanawake na Uchumi wa Viwanda wilaya ya Dodoma Mjini WAUVI wameanza kufanya uzalishaji wa…
28 Machi 2023, 2:00 um
WAUVI yazindua mafunzo kwa wajasiriamali 500 Dodoma
Mafunzo hayo yamezinduliwa leo jijini Dodoma na Mkurugenzi wa Taasisi hiyo bi Habiba Ryengite yatakaohusisha wanawake 400. Na Alfred Bulahya Taasisi ya Wanawake na uchumi wa viwanda WAUVI imezindua mafunzo kwa wajasiriamali 500 Jijini Dodoma kwa ajili ya kuwawezesha kutengeneza…