Radio Tadio

Watumishi

4 May 2026, 15:52

Halmashauri ya Jiji Dodoma yafafanua sakata soko la Nchimbi

Halmashauri ya Jiji la Dodoma imetekeleza wajibu wake wa kuandaa eneo kwa kushirikiana na kamati, na kuweka miundombinu rafiki kwa ajili ya wafanyabiashara. Halmashauri ya Jiji la Dodoma imetoa ufafanuzi kuhusu sakata la wafanyabiashara wa soko la Rehema Nchimbi baada…

19 January 2026, 15:58

Wafanyabiashara Ving’awe waiomba serikali kuwaboreshea soko

Milioni 36 ya wafanyakazi Tanzania, milioni 25.95 sawa na 71.8% wanafanya kazi katika sekta isiyo rasmi. Na Steven Noel.Wafanyabiashara soko dogo la Vighawe, wilaya ya Mpwampwa jijini Dodoma wameiomba serikali kuwaboresha miundombinu ya soko na kuwawezesha upatikanaji wa mikopo nafuu…

7 November 2025, 14:41

Wakandarasi watakiwa kuharakisha ujenzi soko la Majengo

Ukarabati wa soko hilo unatekelezwa kupitia mradi wa Tactics ambapo takribani wafanyabiashara 1,795 watanufaika na soko hili. Na Lilian Leopold. Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amewataka wakandarasi wanaokarabati soko la Majengo jijini Dodoma kuhakikisha mradio huo unakamilika…

4 November 2024, 19:34

Maboresho zaidi yahitajika soko la Maputo Dodoma

Na Mariam Kasawa. Wafanyabiashara wa soko jipya la Maputo Jijini Dodoma wameiomba serikali  kuwaboreshea mazingira ya soko hilo. Wafanya biashara hao wamesema licha ya soko hilo  kuboreshwa kwa kuwekwa maeneo vizuri tofauti na awali bado wanahitaji huduma ziboreshwe sokoni hapo…

10 March 2023, 15:45

Watumishi watakiwa kuimarisha ufanisi katika utendaji

Dkt. Jim Yonazi, amewataka watumishi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu kuimarisha ufanisi katika utendaji kazi wa kila siku ili kufanikiwa katika kufikia malengo ya Serikali. Na Alfred Bulahya. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge…