Radio Tadio

Visima

5 July 2023, 8:28 am

Wananchi wapewa rai kufunika visima

Matukio ya watoto na watu wazima pamoja na wanyama kutumbukia kisimani au kwenye mashimo yameonekana bado ni changamoto mkoani Geita, kiasi cha Jeshi la Polisi kuwakumbusha wananchi kufunika visima na mashimo hayo ili kuepusha ajali zinazoweza kuepukika. Na Kale Chongela…

1 March 2023, 5:14 pm

Nzelenze waiomba serikali huduma ya maji safi na salama

Hatua za kukabiliana na changamoto ya maji vijijini bado zinaendelea  ili kuondokana na matumizi ya maji yaliyo tuama na visima vifupi  ambayo ni hatari kwa afya za binadamu. Na Victor Chigwada                                                               Wananchi wa kitongoji cha Nzelenze Kata ya Itiso Wilaya…