Radio Tadio
17 Mei 2024, 11:48 mu
5 Julai 2023, 8:28 mu
Matukio ya watoto na watu wazima pamoja na wanyama kutumbukia kisimani au kwenye mashimo yameonekana bado ni changamoto mkoani Geita, kiasi cha Jeshi la Polisi kuwakumbusha wananchi kufunika visima na mashimo hayo ili kuepusha ajali zinazoweza kuepukika. Na Kale Chongela…
1 Machi 2023, 5:14 um
Hatua za kukabiliana na changamoto ya maji vijijini bado zinaendelea ili kuondokana na matumizi ya maji yaliyo tuama na visima vifupi ambayo ni hatari kwa afya za binadamu. Na Victor Chigwada Wananchi wa kitongoji cha Nzelenze Kata ya Itiso Wilaya…