![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
Radio Tadio
21 September 2023, 2:25 pm
Na Mary Julius. Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji Mudrik Ramadhani Soraga amesema ujio wa kampuni ya Airpay Tanzania, Zanzibar itasaidia serikali kuwafikia wajasiriamali wadogo katika kupata fursa za mikopo na kutambulika. Soraga ameyasema hayo wakati akifungua…
3 April 2023, 2:15 pm
Wajasiriamali hao wametakiwa kwenda kufanyia kazi mafunzo waliyo patiwa kwa kutengeneza bidhaa bora zenye kuleta ushindani katika soko. Na Alfred Bulahya. Wajasiriamali kutoka taasisi ya wanawake na uchumi wa viwanda WAUVI waliokuwa wakipatiwa mafunzo ya utengenezaji sabuni za maji na…