Radio Tadio

Ujasiriamali

21 September 2023, 2:25 pm

Airpay Tanzania yaleta neema kwa wajasriamali Zanzibar

Na Mary Julius. Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji Mudrik Ramadhani Soraga  amesema ujio wa kampuni ya Airpay  Tanzania, Zanzibar itasaidia  serikali  kuwafikia wajasiriamali wadogo katika kupata fursa za mikopo na kutambulika. Soraga ameyasema hayo wakati akifungua…