UCSAF
15 July 2026, 17:43
Wataalam waonya unywaji pombe kali unavyotengeneza taifa la wagonjwa
Wataalamu wa Afya wameendelea kusisitiza umuhimu wa vijana kujishughulisha na shughuli za maendeleo badala ya kutumia muda mwingi katika unywaji wa pombe. Na Stephan Noel. Serikali na Asasi za Kiraia zimeshauriwa kuongeza jitihada za kutoa Elimu ya Afya kwa vijana…
24 January 2024, 21:29
Serikali kuanza ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini
Kampeni hiyo inatekelezwa katika Mikoa yote 26 ya Tanzania Bara, ambapo viongozi wa mikoa husika watashirikiana na UCSAF katika utekelezaji.. Na Mariam Kasawa. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauyeleo tarehe 24 Januari, 2024 amezindua…
27 September 2023, 15:21
UCSAF kupeleka mawasiliano katika kata 1900 Nchini
Mfuko wa Mawasiliano kwa wote UCSAF umeendelea na jitihada za kuhakikisha upatikanaji wa huduma za mawasiliano ambapo kwa kpindi cha mwaka mmoja julai 2022 hadi june 2023 umejenga minara 304. Na Mariam Matundu. Mfuko wa mawasiliano kwa wote UCSAF umesaini…