Radio Tadio

UCSAF

24 January 2024, 9:29 pm

Serikali kuanza ujenzi wa minara 758 ya mawasiliano vijijini

Kampeni hiyo inatekelezwa katika Mikoa yote 26 ya Tanzania Bara, ambapo viongozi wa mikoa husika watashirikiana na UCSAF katika utekelezaji.. Na Mariam Kasawa. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Nape Moses Nnauyeleo tarehe 24 Januari, 2024 amezindua…

27 September 2023, 3:21 pm

UCSAF kupeleka mawasiliano katika kata 1900 Nchini

Mfuko wa Mawasiliano kwa wote UCSAF umeendelea na jitihada za kuhakikisha upatikanaji wa huduma za mawasiliano ambapo kwa kpindi cha mwaka mmoja julai 2022 hadi june 2023 umejenga minara 304. Na Mariam Matundu. Mfuko wa mawasiliano kwa wote UCSAF umesaini…