Radio Tadio

Tozo

5 July 2023, 3:47 pm

Wamiliki nyumba za wageni waja juu tozo ya kitanda

Kufuatia uchukuaji tozo ya asilimia moja kwa kila kitanda kwenye nyumba za kulala wageni mkoani Geita, wafanyabiashara wa nyumba hizo wameamua kusimama kidete ili serikali ipitia upya na kutoa muongozo wa tozo hizo. Na Mrisho Sadick -Geita Umoja wa Wafanyabiashara…