
Radio Tadio
30 August 2023, 4:18 pm
Inasemekana bwawa hilo limekauka kutokana na shughuli za kibinadamu zilizokuwa zikifanyika katika eneo hilo ikiwemo shughuli za kilimo. Na Mindi Joseph. Shilingi Bilion 20.6 zinatarajiwa kutumika katika ujenzi wa Mradi wa eneo la Kupumzikia baada ya Bwawa la Swaswa lililopo…
29 August 2023, 4:16 pm
Mtaa wa Swaswa una wakazi wapatao 10,941 huku shauku ya wanafunzi na wazazi ikiwa ni kuona shule hiyo inaanza kutumika baada ya kukamilika kwa ujenzi, usajili na miundombinu mingine. Na Mindi Joseph. Zaidi ya shilingi milioni 300 zimetumika katika ujenzi…