Smaujata
19 June 2026, 18:26
Mradi wa maendeleo jumuishi ya kijani wazinduliwa Dodoma
Agridiversity Tanzania ni shirika lisilo la kiserikali (NGO) la Tanzania linalojihusisha na kuendeleza kilimo endelevu kwa wakulima wadogo. Na Elizabeth Tanzania. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amezindua Mradi wa Maendeleo Jumuishi ya Kijani (Inclusive Green Transformation – IGRET),…
2 June 2026, 17:38
Wananchi Nala kunufaika na mradi wa maji
Mradi huo wa maji safi na salama unatarajiwa kuongeza upatikanaji wa maji katika maeneo ya Nala na vitongoji jirani, huku ukiimarisha afya za wananchi, shughuli za uzalishaji mali na maendeleo ya viwanda vinavyotegemea huduma ya maji katika Jiji la Dodoma.…
10 February 2026, 16:28
Kamati ya siasa Chamwino yaridhishwa ujenzi wa mradi wa maji
Kukamilika kwa Mradi huo utaongeza upatikanaji wa Majisafi kutoka asilimia 91 ya sasa hadi asilimia 100 na utaenda kuhudumia wananchi zaidi ya 59,085 katika eneo la kihuduma la DUWASA katika Mji wa Chamwino, ambapo Kata 4 zenye jumla ya Vijiji…
6 December 2024, 11:26
Mhandisi mradi wa Tactic atakiwa kukamilisha kazi kwa wakati
Maandalizi ya utekelezaji wa mradi huu yamegawanywa katika makundi matatu kwa kuzingatia awamu za mgao wa fedha kutoka kwa mfadhili (Benki ya Dunia). Na Annuary Shaban.Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Alhaj Jabir Shekimweli amemtaka mhandishi wa mradi wa tactic kuhakiksha…
30 July 2024, 19:24
Mradi mkubwa wa mapumziko unaotarajiwa kujengwa katika mtaa wa Swaswa
Yussuph Hassani amezungumza na mwenyekiti wa mtaa huo juu ya mradi wa eneo hilo. Na Yussuph Hassan. Tupo mtaa wa Swaswa leo mwenyekiti wa mtaa huo Bw. Charles Nyuma anazungungumzia mradi wa mapumziko ambao unatarajiwa kujengwa katika eneo hilo.
16 March 2023, 16:51
Jamii yatakiwa kuwa na muamko wa kuripoti matukio ya ukatili wa kijinsia
Nini kifanye ili kutoa mwamko kwa jamii hasa kuanzia ngazi za familia na mitaa katika kuripoti matukio ya ukatili. Na Fred Cheti Jamii yatakiwa kuona umuhimu wa kushiriki katika kuripoti matukio ya ukatili wa kijinsia yanayotokea katika maeneo yao. Hayo…