Radio Tadio

sherehe

1 February 2024, 17:12

Mch. Mbazzah astaafu, aagwa na Baraka fm radio

Na Hobokela Lwinga Kituo cha redio Baraka kimemuaga mfanyakazi wake mchungaji Nehemia Mbaza baada ya kustaafu kukitumikia kituo hicho kwa muda wa miaka 13. Hafla ya kumuuaga mchungaji huyo imefanyika katika ukumbi mdogo wa chuo cha ufundi moravian uliopo kadege…