
Radio Tadio
1 February 2024, 17:12
Na Hobokela Lwinga Kituo cha redio Baraka kimemuaga mfanyakazi wake mchungaji Nehemia Mbaza baada ya kustaafu kukitumikia kituo hicho kwa muda wa miaka 13. Hafla ya kumuuaga mchungaji huyo imefanyika katika ukumbi mdogo wa chuo cha ufundi moravian uliopo kadege…
28 December 2023, 17:59
Na Hobokela lwinga Katika kuadhimisha sikukuu ya Krismas Mamia ya Wakazi wa kata ya Iponjola wilayani rungwe wameshiriki zoezi la Uchimbaji wa Shimo la maji taka katika kituo cha afya kilichopo katika kata yao. Hatua hiyo imekuja ikiwa ni hatua…