SGR
27 November 2025, 2:04 pm
Wakazi Chinugulu wataka elimu ya kuzuia tembo kuvamia mashamba
Pamoja na hayo Wananchi wa Chamwino wamesisitiza kuwa elimu ya kitaalamu kuhusu namna ya kukabiliana na tembo itasaidia kupunguza madhara na kuimarisha usalama wa jamii pamoja na mazao yao. Wananchi wa vijiji vya Chinugulu na Manda, tarafa ya Mpwayungu, Wilaya…
23 April 2025, 6:13 pm
Afariki Dunia baada ya kukanyagwa na Tembo
Ikumbukwe kuwa hili ni tukio la Nne la Mwananchi kuuliwa na tembo katika kata ya Chifutuka ambapo Tembo wamekuwa wakitoroka katika hifadhi za kuingia katika makazi ya wananchi licha ya Askari wa TAWA kufanya jitihada za kuwafukuza katika maeneo ya…
1 June 2023, 1:50 pm
Serikali kufanya majaribio ya treni ya mwendokasi Julai
Hayo yamesemwa na msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma. Na Alfred Bulahya. Serikali inatarajia kufanya majaribio ya treni ya mwendokasi (SGR) ifikapo mwezi Julai mwaka huu badala ya mwezi Mei kama ilivyotangazwa…
26 April 2023, 3:01 pm
Operesheni ya kukamata wezi wa vyuma yaendelea Mpwapwa
Katika oparesheni hiyo ametoa muda kwa wale wote walio uziwa vyuma hivyo bila kujua wavikabidhi kwa watendaji. Na Fred Cheti. Mkuu wa Wilaya ya Mpwampwa Mhe.Sophia Kizigo amesema wanaendelea na operesheni maalum ya kukamata watu wanaoiba vyuma vilivyofungwa kwenye minara…