Radio Tadio

Semina

25 November 2025, 3:53 pm

Zabibu tonight yaelezea maandalizi kuelekea pambano Jumamosi

Pambano hilo linatarajiwa kuchezwa novemba 29 katika viwanja vya mambo Poa. Mwandaaji wa pambano hilo Bw. Yuko Kiando ameeleza maandalizi ya pamabano hilo ambalo linatarajia kufanyika Novemba 29 huku tiketi zikipatikana barabara ya 11. Nao baadhi ya mabondia wakapata nafasi…

20 September 2023, 10:06 am

Majukwaa ya wakulima chachu Kwa wakulima wadogo

Kilimo kimeendelea kuwa muhimu katika kuchangia Pato la taifa (GDP) na uchumi wa nchi. Na Thomas Maswali Kilimo kimeendelea kuwa muhimu katika kuchangia Pato la taifa (GDP) na uchumi wa nchi. Katika mwaka 2019 mchango wa kilimo katika Pato la…

11 July 2023, 4:45 pm

Wahudumu wa Afya nchini watakiwa kupunguza semina

Aidha Waziri Ummy amewataka wataalamu hao wa afya kufanya kazi zao kwa weledi na kuzingatia kazi zao za tiba. Na Fred Cheti. Waziri wa Afya, Mhe Ummy Mwalimu amewataka wataalamu wa afya nchini kupunguza semina ili kuwa na muda zaidi…