
Radio Tadio
10 May 2022, 3:57 pm
Na;Yussuph Hassan. Waziri wa Nishati, January Makamba amesema Serikali imetoa ruzuku ya Sh100 bilioni kwa ajili ya kupunguza bei ya mafuta nchini. Akiwasilisha taarifa ya serikali leo bungeni jijini Dodoma, Waziri wa Nishati, January Makamba amesema ruzuku hiyo inatolewa kwa…
9 August 2021, 1:46 pm
Na; Fedrick Lukasho. Wananchi wa kata ya Nkuhungu katika mitaa ya Mnyakongo ,Bochela, Mtube na Salama Jijini Dodoma wameiomba Serikali kutatua changamoto ya maji kutuama kwa muda mrefu katika makazi yao. Wakizungumza na Dodoma FM Radio kwa nyakati tofauti baadhi…