ruzuku
20 November 2025, 5:16 pm
Hii hapa sababu ya vifo vya wavuvi Chato kupungua
Mamlaka za usalama majini zimeahidi kuendelea na ukaguzi wa mara kwa mara, kutoa mafunzo na kusisitiza matumizi ya vifaa vya usalama majini. Na Mrisho Sadick: Vifo vitokanavyo na ajali za majini wilayani Chato Mkoani Geita vimepungua kwa asilimia kubwa baada…
10 May 2022, 3:57 pm
Serikali yatoa ruzuku kwaajili ya kupunguza bei ya mafuta
Na;Yussuph Hassan. Waziri wa Nishati, January Makamba amesema Serikali imetoa ruzuku ya Sh100 bilioni kwa ajili ya kupunguza bei ya mafuta nchini. Akiwasilisha taarifa ya serikali leo bungeni jijini Dodoma, Waziri wa Nishati, January Makamba amesema ruzuku hiyo inatolewa kwa…
9 August 2021, 1:46 pm
Maji yapelekea baadhi ya wakazi wa kata ya Nkuhungu kuyakimbia makazi yao
Na; Fedrick Lukasho. Wananchi wa kata ya Nkuhungu katika mitaa ya Mnyakongo ,Bochela, Mtube na Salama Jijini Dodoma wameiomba Serikali kutatua changamoto ya maji kutuama kwa muda mrefu katika makazi yao. Wakizungumza na Dodoma FM Radio kwa nyakati tofauti baadhi…