
Radio Tadio
8 September 2023, 12:06 pm
Juhudi za kuendelea kuwahimiza vijana kujiingiza kwenye kilimo zinaendelea, kwani kilimo ndio uti wa mgongo wa taifa, huku Kijani Consult wakija na njia mbadala kwa vijana wa Geita kutumia kilimo chenye mwanga mdogo wajua ili mazao kustawi vizuri. Na Zubeda…
5 July 2023, 5:48 pm
kwa sasa wastani wa bei ya nyanya sokoni ni kati ya shilingi 2000, 2500 hadi 3000 kwa ujazo wa sado moja. Na Tadei Tesha. Baadhi ya wafanyabiashara pamoja na wakulima wa nyanya katika soko kuu la majengo jijini Dodoma wameiomba…