Radio Tadio

NEMC

26 June 2023, 1:37 pm

NEMC, TBS zakutana kujadili katazo vifungashio vya plastiki

Vifungashio visivyo kidhi ubora vinatajwa kuleta athari katika mazingira. Na Fred Cheti. Baraza la uhifadhi na usimamizi wa  mazingira (NEMC) limekutana na shirika la viwango nchini (TBS) na kufanya kikao kazi kwa lengo la utekelezaji wa katazo la matumizi ya…

5 May 2023, 2:45 pm

Wawekezaji watakiwa kufanya tahmini ya athari za mazingira

Na Fred Cheti. Baraza la Usimamizi na uhifadhi wa Mazingira (NEMC) limewataka wawekezaji wote  wa miradi ya maendeleo nchini kufanya tathimini ya athari kwa mazingira katika miradi yao ili kuepusha migogoro itakayotokana na uchafuzi wa mazingira. Hayo yameelezwa na Bwn.…

18 April 2023, 6:06 pm

NEMC yaanza oparesheni kudhibiti vifungashio visivyo takiwa

Mnamo tarehe 1 Juni, 2019, Serikali ilipiga Marufuku Uzalishaji; Uingizaji nchini, Usafirishaji nje ya nchi; Usambazaji; na Matumizi ya mifuko ya plastiki kwa kile kinachodaiwa kuwa mifuko hiyo ni chanzo cha uchafuzi wa mazingira. Na Fred Cheti. Serikali kupitia baraza…