Radio Tadio

NEMC

13/05/2025, 16:09

Bahi kuja na marufuku kwa wajawazito kunywa pombe

Ikumbukwe kuwa Mradi wa Elimu Jumuishi unaotekelezwa na Kanisa FPCT katika mkoa wa Dodoma unatekelezwa kwenye wilaya mbili ambazo ni Dodoma na Bahi. Na Seleman Kodima. Halmashauri ya Wilaya ya Bahi imesema ipo tayari kuwa na sheria ndogo ndogo za…

05/05/2023, 14:45

Wawekezaji watakiwa kufanya tahmini ya athari za mazingira

Na Fred Cheti. Baraza la Usimamizi na uhifadhi wa Mazingira (NEMC) limewataka wawekezaji wote  wa miradi ya maendeleo nchini kufanya tathimini ya athari kwa mazingira katika miradi yao ili kuepusha migogoro itakayotokana na uchafuzi wa mazingira. Hayo yameelezwa na Bwn.…

18/04/2023, 18:06

NEMC yaanza oparesheni kudhibiti vifungashio visivyo takiwa

Mnamo tarehe 1 Juni, 2019, Serikali ilipiga Marufuku Uzalishaji; Uingizaji nchini, Usafirishaji nje ya nchi; Usambazaji; na Matumizi ya mifuko ya plastiki kwa kile kinachodaiwa kuwa mifuko hiyo ni chanzo cha uchafuzi wa mazingira. Na Fred Cheti. Serikali kupitia baraza…