Radio Tadio

Mpwapwa

15 August 2024, 5:44 pm

Wakazi Mchito watatuliwa kero ya maji

Baadhi ya wananchi hao wametoa shukrani zao za dhati kwa shirika hilo kwani kupitia msaada wa kisima kirefu cha maji kimepelekea wananchi kujikita na kilimo cha umwagiliaji. Na Victor Chigwada.Wananchi wa kijiji cha Mchito wametoa shukrani kwa wadau na wahisani…

13 November 2023, 5:11 pm

DC Mpwapwa abaini upigaji pesa za watumia maji

Sera ya Maji ina inasisitiza miradi ijengwe, iendeshwe na kusimamiwa na wananchi ili ijiendeshe kwa kufanyaa matengenezo kila inapohitajika bila kutegemea ruzuku kutoka serikalini. Na seleman Kodima. Halmashauri ya wilaya ya Mpwapwa imeamua kuziunganisha jumuiya za watumia maji (CBWSO) badala…