Radio Tadio

Miundombino

4 January 2024, 14:07

Shule mpya wilayani Chunya kuwakomboa wanafunzi

Tayari tumekwisha Jenga vyumba 8 vya madarasa, ofisi za walimu mbili, jengo la utawala, maktaba, jengo la kompyuta na maabara tatu ya kemia, fizikia na biolojia Na Samwel Mpogole Shule mpya ya Sekondari ya Kata Kambikatoto wilaya ya Chunya Jimbo…