Radio Tadio
20 July 2026, 17:25
Juhudi hizi za wananchi zinaonesha namna ushirikiano kati ya jamii, viongozi na wadau unavyoweza kuwa chachu ya maendeleo ya elimu. Kukamilika kwa shule hiyo kunatarajiwa kupunguza adha ya wanafunzi kutembea umbali mrefu na kuongeza fursa ya watoto wengi kupata elimu…
28 September 2023, 16:42
Hali hiyo imekuwa ikikinzana na Sheria ya haki ya kupata Taarifa ambayo inatoa wigo kwa wananchi kuwa huru kupata taarifa ambazo hazijazuiliwa kisheria. Na Seleman Kodima. Pamoja na Serikali kuhimiza Matumizi sahihi ya Mitandao ya kijamii, Baraza la Habari Tanzania…