Radio Tadio

Makazi

11 Disemba 2025, 4:53 um

TASAF yaboresha maisha ya wakazi wa Igandu

Tofauti na hapo awali ambapo baadhi ya watoto walikaa majumbani Kwa kukosa uwezo wa kumudu kununua viafaa vya shule. Na Victor Chigwada.Wakazi wa Kijiji Cha Igandu Wilaya ya Chamwino wameipongeza Serikali kupitia mfuko wa TASAF Kwa kusaidia kuboresha maisha ya…

16 Agosti 2024, 1:51 um

Nini kifanyike TASAF iwafikie walengwa sahihi?

Dodoma TV Imepita Mtaani Kuzungumza na baadhi ya hapa Wananchi Jijini Dodoma kuhoji je nini kifanyike ili wanufaika wa Mfuko huo wawe ni walengwa sahihi. Na Fred Cheti.Kulingana na Takwimu kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu NBS asilimia nane ya…

15 Disemba 2022, 9:56 um

Majaliwa agawa nyumba kwa watumishi wa serikali Mlele

MLELE Waziri Mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania amezigawa nyumba Kwa watumishi wa serikali katika halmashauri ya wilaya ya Mlele kutokana na kutokaliwa na watu na kuharibika. Ameyasema hayo wakati akizungumza na watumishi wa umma wa halmashauri hiyo ambapo…

15 Disemba 2022, 10:17 mu

Majengo mapya kujengwa katika makao makuu ya tarafa Tanganyika

TANGANYIKA Katika kuimarisha huduma za kimahakama mkoani Katavi Serikali imejipanga kujenga majengo mapya katika makao makuu ya tarafa zote wilayani Tanganyika. Hayo yamesemwa na naibu waziri wa katiba na sheria Geofrey Pinda wakati wa ziara ya waziri Mkuu Kassim Majaliwa…