Radio Tadio

majisafi

27 December 2023, 20:03

Kyela:Serikali kumtua ndoo mwanamke Kyela

Jumla ya shilingi bilioni nne zimetolewa na serikali ya Tanzania kwa wananchi wilayani Kyela ili kukamilisha mradi wa ujenzi wa mtandao wa maji safi na salama kutoka halmashauri ya Busokelo. Na Masoud Maulid Wananchi wilayani Kyela wameanza kuwa na matumaini…