![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
Mahindi
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/41/2024/01/screenshot-20240116-141001-1.jpg)
16 January 2024, 14:16
Mahindi Rungwe yaanza kukauka
Na mwandishi wetu Katika Ukanda wa juu na kati katika Halmashauri ya wilaya ya Rungwe baadhi ya mashamba mahindi yameanza kukauka. Pamoja na kukauka bado mvua inaendelea kunyesha katika kata zote ikilenga kustawisha mazao mbalimbali. Wakulima Mnakumbushwa kuvuna kwa wakati…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/10/2023/05/vlcsnap-2023-05-09-09h34m45s865.png)
9 May 2023, 4:51 pm
Uvunaji hafifu wa mahindi wapelekea tishio la njaa kwa baadhi ya familia
Mkoa wa Dodoma ulijiwekea malengo ya kulima hekta 7 za chakula lakini mvua hazikunyesha kama ilivyotarajiwa hivyo kuathiri upatikanaji wa chakula kama ilivyotarajiwa kuilazimu Serikali kutoa mahindi ya bei nafuu jumla ya tani 12,747.15. Na Mindi Joseph. Uvunaji Hafifu wa…
![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/10/2023/03/maize-780x470-2.jpg)
29 March 2023, 2:11 pm
Wananchi Ndogowe walalamika kuuziwa mahindi bei ghali
Mfumo huu wa usambazaji wa mahindi ya Bei nafuu unalenga kukabiliana na janga la njaa ambalo pia huchangia kupanda kwa bei ya vyakula. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa pamoja na jithada za Serikali kusambaza msaada wa mahindi ya Bei…