![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
Radio Tadio
10 July 2023, 6:23 pm
Senyamule amesema kitendo hiki kimeipa heshima kubwa halmashauri ya wilaya ya Kongwa, mkoa wa Dodoma na nchi kwa ujumla. Na Mariam Matundu. Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule ameipongeza halmashauri ya wilaya ya Kongwa kwa kupata Hati safi…
10 April 2023, 12:53 pm
Duwasa imeendelea kuhimiza utunzaji wa miundombinu ya maji safi iliyopo katika maeneo yao ili iweze kudumu kwa muda mrefu. Na Miandi Joseph. Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) imesema kukatika mara kwa mara kwa huduka ya umeme…