Kongwa
1 December 2025, 5:20 pm
Wakulima wahimizwa kulima mazao yanayostahimili upungufu wa mvua
Maeneo mengi katika Mkoa wa Dodoma na wilaya zake ikiwemo Dodoma, Mpwapwa, Kongwa, Bahi, Chamwino, Chemba na Kondoa yanatarajiwa kupata mvua chache hadi za wastani katika kipindi chote cha msimu. Na Mwandishi wetu.Wananchi wameendelea kupata elimu kuhusu uchaguzi sahihi wa…
10 December 2024, 4:04 pm
Wananchi watakiwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya mvua
Hii inajiri baada ya mfululizo wa vipindi vya mvua kunyesha bila kumpuzika hususani katika kipindi hiki cha msimu wa mvua. Na Nazael Mkude.Wito umetolewa wakazi wa mtaa wa bwawani kata ya ipagala mkoani Dodoma kuhakikisha kuwa wanachukua tahadhari kwa kipindi…
10 July 2023, 6:23 pm
Kongwa yapongezwa kwa kupata hati safi ya ukaguzi
Senyamule amesema kitendo hiki kimeipa heshima kubwa halmashauri ya wilaya ya Kongwa, mkoa wa Dodoma na nchi kwa ujumla. Na Mariam Matundu. Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule ameipongeza halmashauri ya wilaya ya Kongwa kwa kupata Hati safi…
10 April 2023, 12:53 pm
Kukatika kwa Umeme kunaathiri upatikanaji wa maji Kongwa
Duwasa imeendelea kuhimiza utunzaji wa miundombinu ya maji safi iliyopo katika maeneo yao ili iweze kudumu kwa muda mrefu. Na Miandi Joseph. Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dodoma (DUWASA) imesema kukatika mara kwa mara kwa huduka ya umeme…