Radio Tadio

Kondoa

13 July 2023, 4:10 pm

Shule ya sekondari Amani Abeid yamkosha Senyamule

Wanafunzi wametakiwa kusoma kwa bidii ili kukutana na fursa nyingine za kielimu. Na Fred Cheti Mkuu wa mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amekoshwa na ufaulu wa wanafunzi wa Shule ya Sekondari Amani Abeid Karume iliyopo katika kata ya Pahi…

12 July 2023, 3:05 pm

Wilaya ya Kondoa yaagizwa kulipa madeni ya watumishi umma

Halmashauri hiyo imetakiwa kuhakikisha inalipa madeni yote ya watumishi wa umma kabla ya kupokea bajeti ya mwaka wa fedha wa 2023/24. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe Rosemary Senyamule ameiagiza halmashauri ya Kondoa kuhakikisha inalipa Madeni yote…

27 March 2023, 2:20 pm

Wananchi Kondoa wasisitizwa kilimo cha umwagiliaji

Mhe. Rosemary Senyamule amewataka wananchi wa Wilaya ya Kondoa kujikita katika kilimo Cha Umwagiliaji Ili kuondoa Janga la njaa, kujiongezea kipato na kukabiliana na mabadiliko ya tabi ya nchi. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule…

17 March 2023, 4:04 pm

Wazazi waliokatisha watoto masomo kukamatwa

Baadhi ya wazazi wanadai elimu zote mbili zina umuhimu huku wengine wakibainisha kuwa  walimu pia wanachangia kuongeza kwa  utoro shuleni. Na Nizar Khalfan. Zoezi la ukamataji la wazazi wa wanafunzi watoro limeanza wilayani kondoa ambapo zaidi ya wazazi kumi na…