
Radio Tadio
8 August 2023, 4:46 pm
Ni muhimu kuwepo kwa upangaji na usimamizi wa bei elekezi katika shughuli mbalimbali za kibiashara, ili kuepusha migongano kati ya wafanyabiashara kutokana na kujipangia bei zao wenyewe na ushawishi binafsi kutoka kwa wateja. Na Neema Shirima. Baadhi ya Wafanyabiashara wa…