Radio Tadio

Jeshi

3 March 2023, 10:42 am

JKT yatarajia kuadhimisha miaka 60 ya kuasisiwa kwake

Madhimisho hayo ya miaka 60 ya kuasisi kwa Jeshi la Kujenga Taifa Jkt Tanzania yatafanyika uwanja wa jamhuri jijini Dodoma ambapo yamebeba kauli mbiu isemayo Malezi ya Vijana ,uzalishaji mali na Ulinzi kwa ustawi wa Taifa. Na Seleman Kodima Jeshi…