Jeshi
September 21, 2025, 8:40 am
JKT Itaka wafundisha utengenezaji mkaa mbadala
Ikiwa ni utekelezaji wa agizo la serikali la matumizi ya nishati safi Na Stephano Simbeye KIKOSI cha Jeshi la kujenga Taifa (JKT) 845KJ Itaka wilaya ya Mbozi mkoani Songwe kimeanza kufundisha jinsi ya kutengeneza mkaa mbadala kwa kutumia taka za shambani.…
17 May 2024, 12:25 pm
Klabu za maadili zaanzishwa kwa shule za msingi, sekondari Dodoma
Lengo la klabu za maadili ni kuwajengea wanafunzi misingi bora ya maadili tangu wakiwa shuleni. Na Mindi Joseph.Zaidi ya klabu 200 za maadili kwa shule za sekondari na msingi zimeanzishwa mkoani Dodoma huku lengo ni kufikia shule zote kujenga ufahamu…
28 August 2023, 12:30 pm
Wananchi wafunguka kufuatia kauli ya Jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ)
Ikumbukwe kuwa, Sheria ya Usalama wa Taifa ya Mwaka 1970 kifungu cha 6, inakataza mtu yeyote ambaye hatumikii Majeshi ya Ulinzi na Usalama ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wala jeshi lolote lililowekwa kwa mujibu wa sheria kuvaa vazi rasmi…
3 March 2023, 10:42 am
JKT yatarajia kuadhimisha miaka 60 ya kuasisiwa kwake
Madhimisho hayo ya miaka 60 ya kuasisi kwa Jeshi la Kujenga Taifa Jkt Tanzania yatafanyika uwanja wa jamhuri jijini Dodoma ambapo yamebeba kauli mbiu isemayo Malezi ya Vijana ,uzalishaji mali na Ulinzi kwa ustawi wa Taifa. Na Seleman Kodima Jeshi…