Radio Tadio

hofu

3 January 2023, 9:02 am

Paka wa ajabu aleta taharuki kwa kufanya shambulio.

Na Kale Chongela: Watu watatu akiwemo mtoto mwenye umri wa miaka (5) wamenusurika kifo baada ya kushambuliwa na paka wa ajabu majira ya alfajiri katika Kitongoji cha kilimahewa Kata ya Lulembela wilayani  mbogwe Mkoani Geita. Tukio hilo limezua taharuki kwa…

16 November 2022, 12:36 pm

Wanafunzi watakiwa kuepuka hofu

Na; Lucy Lister. Hofu inayowakumba baadhi wanafunzi kipindi cha mitihani imetajwa kuwa ni moja ya sababu inayofanya wanafunzi wengi kufeli na wengine kukatisha masomo yao. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya walimu mkoani Dodoma wamesema kuwa hofu inaweza kumsababishia…