hofu
11 Septemba 2025, 4:43 um
Yapi mazingira rafiki kwa wenye ulemavu kushiriki uchaguzi?
Sheria ya watu wenye ulemavu ya mwaka 2010 inatambua haki ya kushiriki katika maisha ya kisiasa, ikiwemo kupiga kura na kugombea nafasi za uongozi. Na Yussuph Hassan.Katika kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, wadau wa haki za watu wenye ulemavu…
3 Januari 2023, 9:02 mu
Paka wa ajabu aleta taharuki kwa kufanya shambulio.
Na Kale Chongela: Watu watatu akiwemo mtoto mwenye umri wa miaka (5) wamenusurika kifo baada ya kushambuliwa na paka wa ajabu majira ya alfajiri katika Kitongoji cha kilimahewa Kata ya Lulembela wilayani mbogwe Mkoani Geita. Tukio hilo limezua taharuki kwa…
16 Novemba 2022, 12:36 um
Wanafunzi watakiwa kuepuka hofu
Na; Lucy Lister. Hofu inayowakumba baadhi wanafunzi kipindi cha mitihani imetajwa kuwa ni moja ya sababu inayofanya wanafunzi wengi kufeli na wengine kukatisha masomo yao. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya walimu mkoani Dodoma wamesema kuwa hofu inaweza kumsababishia…
1 Novemba 2021, 12:15 um
Watu wenye ulemavu wameshauriwa kuacha kujitenga na jamii ili kuepuka ukatili
Na; Mariam Matundu. Watu wenye ulemavu wameshauriwa kuacha kujitenga na jamii ikiwa ni mbinu moja wapo ya kuepuka ukatili dhidi yao ikiwa ni pamoja na kutengwa na kuitwa majina dhalilishi. Hayo yamesemwa na mdau wa masuala ya watu wenye ulemavu…