Damu
12 July 2025, 9:05 pm
Mpango aagiza Tamisemi, Afya kutatua haraka changamoto za waganga wakuu
Amesema lengo kuu la Mpango huo ni kutoa Muelekeo kwa watumishi wa Afya ngazi ya Msingi kufanya Tafiti na kutumia matokeo ya tafiti katika kutatua changamoto,Kuboresha utoaji wa huduma za afya. Na Seleman Kodima.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano…
24 July 2023, 1:19 pm
Mwitikio kuchangia damu Geita mjini ni mdogo
Uhitaji wa damu salama katika Hospitali ya Halmashauri ya mji wa Geita Mkoani Geita ni Mkubwa kuliko inayopatikana kutoka kwa watu wanaochangia. Na Kale Chongela: Mwitikio wa wananchi kuchangia damu salama bado ni Mdogo ukilinganisha na uhitaji katika Hospitali ya…
14 June 2023, 6:00 pm
Vituo vya afya vyatakiwa kununua majokofu ya kuhifadhia mazao ya damu
Tanzania leo imeungana na mataifa mbalimbali duniani kuadhimisha siku ya Wachangia Damu Duniani ambayo inalenga kuongeza ufahamu na kuwashukuru wafadhili wa damu wa hiari, wasiolipwa kwa zawadi zao za kuokoa maisha. Na Mindi Joseph. Waziri wa Afya Mh. Ummy Mwalimu…
15 May 2023, 8:10 pm
Wananchi wahimizwa kuendelea kuchangia damu
Uchangiaji wa Damu bado unatajwa kuwa muhimu katika kuokoa maisha ya watu wenye uhitaji. Na Mindi Joseph. Mwitikio wa Wanafunzi,Taasisi na wadau mbalimbali kuchangia Damu umetajwa kuondoa uhaba wa damu na kuvuka malengo ya uchangiaji katika kitengo cha Damu salama…