Radio Tadio

CWT

16/12/2025, 15:57

Wananchi Mlodaa waiomba serikali machinjio ya kisasa

Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wachinjaji wa maeneo hayo wanasema wekuwa wakichinja mifugo yao Kwa Njia za asili. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Mlebe Kata ya Msamalo Wilaya ya Chamwino wameiomba Serikali kuwajengea machinjio ya kisasa…