Radio Tadio
16 Disemba 2025, 3:57 um
Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wachinjaji wa maeneo hayo wanasema wekuwa wakichinja mifugo yao Kwa Njia za asili. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Mlebe Kata ya Msamalo Wilaya ya Chamwino wameiomba Serikali kuwajengea machinjio ya kisasa…
12 Julai 2023, 5:27 um
Vuguvugu na tuhuma kutoka kwa wanachama wa CWT zimekuwa kubwa kwa Rais wa chama hicho na katibu wake, suala lililopelekea Rais huyo kutoka hadharani na kujibia tuhuma zinazomkabili kutoka kwa wanachama wake. Na Said Sindo- Geita Ikiwa imepita wiki moja…