Radio Tadio

corona

24 October 2025, 6:03 pm

Reuben Sagayika atembelea wananchi mbalimbali Kalangalala

Zimesalia siku 4 ili wananchi nchini waweze kushiriki haki ya msingi na ya kikatiba ya kupiga kura kuchagua madiwani, wabunge na Rais. Na: Ester Mabula Mgombea Udiwani wa kata ya Kalangalala kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Reuben Sagayika…

18 October 2025, 3:52 am

Dkt. Jafari aahidi kuibeba ajenda ya halmashauri mpya

Ni mchaka mchaka kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka huu, ambapo mgombea wa Ubunge Jimbo la Busanda kwa tiketi ya CCM ameendelea kusaka kura kwa wananchi. Na: Ester Mabula Mgombea Ubunge wa jimbo la Busanda kupitia tiketi ya…

11 October 2025, 6:37 pm

Wanawake Geita wajipanga kumpokea Dkt Samia

Ujio wa Dkt. Samia unaleta ari mpya ya kisiasa na ni fursa ya kumpongeza kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuendeleza miradi mikubwa ya maendeleo nchini. Na Mrisho Sadick: Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mkoa wa Geita na Wananchi…

10 October 2025, 6:51 am

UVCCM (W) Geita waongoza mbio mapokezi ya Dkt. Samia

Mgombea urais kwa tiketi ya CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufika mkoani Geita Oktoba 13, 2025 ikiwa ni mwendelezo wa kampeni za chama hicho. Na: Ester Mabula Umoja wa vijana wilaya ya Geita umeongoza mbio za picha ya mgombea…

10 October 2025, 5:37 am

Eng. Chacha, Sukambi waahidi kuijenga Nyankumbu mpya

“Chacha ni Nzagamba lililoshiba, liko tayari kwaajili ya kuleta maendeleo katika jimbo la Geita mjini na kuendeleza kutekeleza ilani ya CCM” – Chacha Wambura Na: Ester Mabula Katika mwendelezo wa kampeni za mgombea ubunge jimbo la Geita mjini kwa tiketi…

9 October 2025, 5:34 am

Costantine Morandi aomba mitano tena kwa wakazi wa Samina

Ikiwa zimesalia siku 19 tu kuweza kufanyika uchaguzi mkuu kwa mwaka 2025, wagombea wa nafasi mbalimbali wameendelea kunadi sera pamoja na ilani za vyama vyao. Na: Ester Mabula Mgombea udiwani katika kata ya Mtakuja kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi…

6 October 2025, 7:41 pm

Nondo za Reuben Sagayika akiomba kura za CCM Msufini

“Ninaimani kata ya Kalangalala itakwenda kubadilika kimaendeleo iwapo mtanipa kura za NDIO ili niweze kuwatumikia kwa moyo wangu” – Reuben Sagayika Na: Ester Mabula Mgombea udiwani wa kata ya Kalangalala kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Reuben Sagayika leo…

3 October 2025, 1:47 pm

MCDF wakabidhi chumba cha tehama Esperanto

Mratibu wa miradi Simba Mramba ameeleza baadhi ya mambo waliyofanya kama shirika katika shule hiyo huku akitaja kuwa chumba hicho kimewekewa viti 31 na meza 31 na computer 30. Na Catherine Msafiri, Shirika la Mazingira Community Development Forum limezindua mradi…