Barabarani
5 August 2026, 14:24
Mpwapwa yatajwa kinara usafirishaji watoto wa kazi za ndani
Mamlaka zimewataka wazazi, walezi na jamii kwa ujumla kulinda haki za watoto kwa kuhakikisha wanapata elimu na malezi stahiki badala ya kuingizwa katika ajira za utotoni. Na Stephen Noel. Afisa Ustawi wa Jamii wa Mkoa wa Dodoma, Bi. Josephine Mwaipopo,…
7 January 2026, 16:20
Wazazi, walezi wasiopeleka watoto shule kuchukuliwa hatua kali
Picha ni Afisa Elimu kata ya Mazae alipokuwa akizungumza na baadhi ya wazazi na walezi wa watoto waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza. Picha na Steven Noel. Serikali imesisitiza kuwa kuwapeleka watoto katika ajira, hususan kazi za ndani, ni kosa la…
23 July 2023, 8:35 pm
Gari lililobeba mashabiki wa Yanga laua na kujeruhi Bunda
Mashabiki wa club ya Yanga wamesherekea kilele cha siku ya mwananchi kwa masikitiko baada ya miongoni mwa gari lililokuwa limebeba mashabiki wa timu hiyo mjini Bunda kupata ajali iliyosababisha vifo vya watu wawili na kujeruhi wengine 14. Na Adelinus Banenwa…