Radio Tadio

ARV

21 September 2023, 2:37 pm

WAVIU watakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya ARV

Kwa mujibu wa wataalam wa afya wanashauri kwamba ni vema wananchi kuhakikisha wanapima afya hususani maambukizi ya virusi vya ukimwi ili waweze kujitambua na kutumia dawa kwa usahihi. Na Katende Kandolo. Watu walioathirika na maambukizi ya virusi vya UKIMWI wametakiwa…