Radio Tadio

Afya.

10 March 2025, 18:46 pm

Zaidi ya tani 9,000 za salfa zawasili bandari ya Mtwara

Hii ni meli ya kwanza kati ya meli nne zinazotarajia kubeba tani 40,000 za pembejeo  ya zao la korosho kwa msimu wa mwaka 2025/2026 ambapo kwa mujibu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho wakulima wanahitaji tani 40’000 ili kufanikisha uzalishaji…

17 February 2025, 3:26 pm

Wananchi Narusunguti washukuru kujengewa zahanati

Wananchi wa kijiji cha Narusunguti hatimaye waagana na changamoto ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya katika maeneo jirani. Na: Edga Rwenduru – Geita Wananchi wa kijiji cha Narusunguti kata ya Busonzo wilaya ya Bukombe mkoani Geita wameishukuru serikali…

22 January 2025, 1:05 pm

Vitambulisho elfu 12 vyakwama ofisi za NIDA Bunda

Vitambulisho elfu 12 ni kati ya vitambulisho 62,370 vilivyoletwa Bunda. Na Adelinus Banenwa Afisa usajili mamlaka ya vitambulisho vya taifa NIDA wilaya Bunda Fredson John Samwel amesema zaidi ya vitambulisho elfu 12, vimerejeshwa ofisi za NIDA wilaya kutoka kwenye ofisi…

17 January 2025, 11:14 am

Chatu aliyeleta taharuki mtaa wa Kasimba auwawa

“Wananchi wameomba msako uendelee kufanyika ili kubaini endapo kuna chatu wengine“ Na Anna Milanzi- Katavi Wananchi wa mtaa wa Kasimba kata ya Ilembo manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameshukuru kwa msako uliofanyika na kufanikiwa kumuua nyoka aina ya chatu huku…

26 December 2024, 21:04

Wakristo watakiwa kuthamini ibada ya kumtolea Mungu sadaka

Sadaka ni moja ya ibada ambayo inapewa nafasi kwenye maeneo mengi na zipo sadaka zinatolewa maeneo mbalimbali ikiwemo miungu,je ipi maana halisi ya sadaka kibiblia. Na Hobokela Lwinga Mwenyekiti wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Mbozi mch.Lawrance Nzowa amewataka…