Storm FM

wizarayamadini

21 March 2024, 2:46 pm

WIMA, GGML zawataka wazazi kuwapa elimu watoto wa kike

Wazazi na walezi wametakiwa kuunga mkono elimu kwa watoto wa kike ili kuwajengea ujasiri na kuchukua nafasi za uongozi wa juu. Na Gabriel Mushi: Wito huo umetolewa na kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) ambayo ni kampuni tanzu ya…

8 July 2021, 8:43 pm

Tunakabiliwa na changamoto nyingi:

Wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu katika Kata ya  Nyarugusu wilayani Geita wameiomba serikali kuendelea kutatua changamoto mbalimbali zinazo wakabili ikiwemo nishati ya umeme pamoja na kusogeza huduma ya ofisi ya madini katika eneo hilo. Wakizungumza mbele ya Mkuu wa…

7 July 2021, 8:26 pm

Tunatambua mchango wa wawekezaji:

Mgodi wa uchimbaji wa madini ya dhahabu wa Busolwa Mining uliyopo kata ya Nyarugusu wilayani Geita umeahidi kuendelea kushirikiana na serikali katika Nyanja mbalimbali za kimaendeleo ikiwemo kutatua changamoto zinazowakabili wakazi wa kata hiyo. Akizungumza mara baada ya kutembelewa na…