Storm FM
wanawake
5 April 2021, 1:23 pm
Umoja wa wanawake wilaya ya Geita Kumuenzi JPM kwa kuchapa kazi
Jumuiya ya umoja wa wanawake wa chama cha mapinduzi wilaya ya Geita umesema wanawake watamuenzi Hayati Dkt John Pombe Magufuli kwa kuchapa kazi na kusimamia haki na kumuunga mkono Rais wa awamu ya sita Samia Suluhu Hassan ili kutimiza maono ya mtangulizi wake.…