Storm FM

waganga

9 April 2024, 6:01 pm

Msako waganga wanaosababisha mauaji Geita

Matukio ya watu kudaiwa kukamatwa hovyo na wananchi katika kijiji cha Iparamasa Chato yamemuibua Kamanda wa Jeshi la Polisi. Na Mrisho Sadick – Geita Jeshi la polisi Mkoani Geita linaendelea  kuwasaka nakuwakamata waganga wa tiba asili ambao wanafanya ramli chonganishi…