Storm FM

usalama

1 May 2024, 7:04 pm

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu wa GGML

GGML ni kampuni inayoendeshwa kwa kufuata sheria na taratibu walizojiwekea jambo ambalo linaifanya kuendelea kusifika nakuwa mfano wa kuigwa hapa nchini. Na Mwandishi wetu: SHIRIKISHO la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) pamoja na Wakala wa Usalama na Afya mahalipa kazi…

5 April 2021, 6:35 pm

Ulinzi na usalama Geita umeimarika

Na Zubeda Handrish: Wakazi wa Mtaa wa Msufini mjini Geita wamezungumzia hali ya ulinzi na usalama wa raia na mali zao tangu aliyekuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli kuingia madarakani. Wameyasema hayo walipozungumza…