Storm FM
tamisemi
5 April 2021, 5:27 pm
Mwenyekiti wa Mtaa anusurika kipigo kutoka kwa wananchi Geita
Mwenyekiti wa mtaa wa Tambukareli kata ya Kalangalala Wilayani Geita amenusurika kipigo kutoka kwa wananchi wa mtaa wa Bombambili kwa madai ya kutaka kusoma taarifa ambayo hawakuitaka isomwe mbele yao. Hatua hiyo ya wananchi imetokana na madai ya kiongozi huyo…