Storm FM
siasa
24 March 2021, 10:12 pm
Wakazi wa Mwanza wamejitokeza kwa wingi kumuaga Dkt Magufuli
Wakazi wa Jiji la Mwanza na maeneo ya mikoa jirani ya Shinyanga,Simiyu na Tabora wamejitokeza kwa wingi katika Uwanja wa CCM Kirumba kumuaga Dkt John Pombe Magufuli aliekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliefariki dunia Machi 17-2021 kwa…