Storm FM
miradi
19 February 2024, 12:11 am
Wahujumu miradi Geita kukiona cha moto
Kushindwa kukamilika kwa wakati miradi ya maendeleo Mkoani Geita imebainika kuwa kuna baadhi ya watu ambao wanafanya hujuma. Na Mrisho Sadick: Serikali Mkoani Geita imeagizwa kuwachukulia hatua kali watu wanaohujumu na kuchelewesha miradi ya maendeleo kwasababu zao binafsi licha ya…