Storm FM
barabara
30 March 2021, 1:59 am
Barabara yapewa jina la JPM wilayani Mbogwe Mkoani Geita
Mbunge wa jimbo la mbogwe Nikodemas Maganga ameamua kuiita MAGUFULI ROAD barabara ya kilomita 3 inayotengenezwa kpitia fedha zilizotolewa na hayati Dkt John Pombe Magufuli kwa kutambua mchango wake katika wilaya hiyo. Mbunge Maganga Amesema kutokana na mchango mkubwa wa…
25 March 2021, 3:01 pm
Wakulima wilayani Chato walalamikia ubovu wa miundombinu ya barabara
Wakulima wa kata za Kachwamba na Kasenga wilayani Chato mkoani Geita wanalazimika kuuza dumu la mahindi kwa shilingi 3500 badala ya 8000 kutokana na miundombinu mibovu ya barabara ambayo haiwawezeshi kusafirisha bidhaa hiyo kwa uharaka. Wakizungumza na Storm Fm kwa…