Storm FM
Bakwata
14 April 2021, 5:15 pm
Waumini wa dini ya kiislamu Geita washauriwa kuzidisha upenndo
Na Joel Maduka: Waislamu kote duniani leo hii wameanza kufunga kwa ajili ya mwezi mtukufu wa Ramadhan ambapo hujizuiya kula na kunywa kuanzia alfajiri hadi jua linapozama takriban siku 30 au 29 kutegemea na muandamo wa mwezi. Shehe Mkuu wa…