Sibuka FM
Ushirika
7 February 2024, 1:56 pm
DC Maswa atahadharisha wanaotorosha mazao ya nafaka
Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu Mhe Aswege Kaminyoge amewatahadharisha Wafanyabiashara wa Mazao ya Nafaka utoroshaji na kukwepa kulipa Ushuru wa Mazao hayo. Mhe Kaminyoge amesema hayo katika kikao cha Wadau wa Kilimo na Mazao Mchanganyiko kilichofanyika Katika ukumbi wa …