Sibuka FM

Ruwasa

7 May 2024, 7:54 pm

DC Maswa akabidhi pikipiki kwa  CBWSOs

Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh. Aswege Kaminyoge amewataka viongozi wa CBWSOs zilizogawiwa pikipiki kuzitumia katika malengo yaliyokusudiwa ili kuleta mabadiliko katika utoaji wa huduma za maji na siyo shughuli binafsi zisizo na tija. Na Nicholaus Machunda Mkuu  wa  Wilaya …

16 September 2022, 11:10 am

TRA YATOA ELIMU KWA WAFANYA BIASHARA WILAYANI MASWA JUU YA ULIPAJI KOD…

Mkuu  wa  Wilaya  ya Maswa  Mkoani  Simiyu  Aswege  Kaminyoge  amesema  kuwa   Wananchi  wanatakiwa  kuwa  Wazalendo  kwa  Kulipa  Kodi  ya Serikali kwa  Maendeleo  ya  Taifa. Mh  Kaminyoge  ametoa  wito  huo  kwenye  kikao kati  ya  Wafanyabiashara wilayani  hapo   na  Maafisa  wa  Mamlaka …

6 August 2022, 7:44 pm

DC MASWA AOKOA ZAIDI YA LITA 30,000 ZA MAFUTA YA DIESELI ZILIZOTAKA …

Mkuu wa  Wilaya  ya  Maswa  Mkoani  Simiyu  Aswege  Kaminyoge  ameliagiza  Jeshi  la Polisi  kuwasaka  na  kuwakamata  watu  wote  waliofanya  hujuma  za  kutaka  kuiba  Mafuta  aina  ya  Dieseli  katika  kituo  cha  Malampaka  ambapo  Ujenzi  wa  Reli  ya  Kisasa   SGR  Unaendelea. Mh  …