Ruwasa
8 May 2024, 4:16 pm
RUWASA Maswa yatakiwa kusajili pikipiki kwa namba za serikali
Vyombo vya watoa huduma wa maji ngazi ya jamii wilayani Maswa vimesaidia upatikanaji wa maji vijijini kutoka asilimia 68.9 hadi 74 na ifikapo 2025 kufikia asilimia 85. Na, Daniel Manyanga Mkuu wa wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Aswege Kaminyoge amemtaka…
7 May 2024, 7:54 pm
DC Maswa akabidhi pikipiki kwa CBWSOs
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh. Aswege Kaminyoge amewataka viongozi wa CBWSOs zilizogawiwa pikipiki kuzitumia katika malengo yaliyokusudiwa ili kuleta mabadiliko katika utoaji wa huduma za maji na siyo shughuli binafsi zisizo na tija. Na Nicholaus Machunda Mkuu wa Wilaya …
26 December 2023, 6:16 pm
ugumu wa maisha chanzo kudorora kwa sikukuu za mwisho wa mwaka maswa
Sikukuu za mwisho wa mwaka zimepoteza mwamko kwa Wananchi kutokana na kupanda kwa gharama za maisha ya kila hivyo kukosa fedha za ziada kwa ajili ya kugharamia sherehe hizo Na Alex Sayi-Simiyu Imebainishwa kuwa mabadiliko ya tabia ya Nchi na…
16 September 2022, 11:10 am
TRA YATOA ELIMU KWA WAFANYA BIASHARA WILAYANI MASWA JUU YA ULIPAJI KOD…
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge amesema kuwa Wananchi wanatakiwa kuwa Wazalendo kwa Kulipa Kodi ya Serikali kwa Maendeleo ya Taifa. Mh Kaminyoge ametoa wito huo kwenye kikao kati ya Wafanyabiashara wilayani hapo na Maafisa wa Mamlaka …
6 August 2022, 7:44 pm
DC MASWA AOKOA ZAIDI YA LITA 30,000 ZA MAFUTA YA DIESELI ZILIZOTAKA …
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge ameliagiza Jeshi la Polisi kuwasaka na kuwakamata watu wote waliofanya hujuma za kutaka kuiba Mafuta aina ya Dieseli katika kituo cha Malampaka ambapo Ujenzi wa Reli ya Kisasa SGR Unaendelea. Mh …